2 Bedrooms House for sale at Tabata, Dar Es Salaam


Nyumba inauzwa Tabata Bonyokwa kwa bei ya milioni 48. Ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, na choo. Gharama za kuja kuona ni shilingi 50,000. Ina nyaraka za mauziano kutoka serikali ya mtaa.
HTabataBonyokwa #RealEstateTanzania #NyumbaZaKisasa #PropertyForSale