2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


Apartment kali sanaa
@
Inapangishwa
@
Bei 400,000 kwa mwez
@
Malipo miez 6 na dalali 7
@
Ipo marneo ya kimara korogwe
@
Pazur sanaa
@
Kwa miguu dakika 10
@
Ni nyumba ya vyumba 2 sebule jiko choo
@
Chumba kimoja master
@
Umeme mita yako maji shea
@
Parkingi ipo
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
KWa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687