3 Bedrooms House for sale at Ukonga, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3, TSHS.35 MILIONI,UKONGA-BOMBAMBILI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ipo jirani na Barabara ya Lami
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv


















