House for sale at Ukonga, Dar Es Salaam







Nyumba inauzwa Ukonga Bomba mbili stend wilaya ya ilala Dar
๐BEI MILION 35 inapungua (usiogope)๐
Vyumba v3 kimoja masta
Dining siting jiko
Tailz jipsam umeme maji
Nyaraka ya serikali ya mtaa
Eneo sqm 400(makadilio)
Unatembea tu had stend
Fens ya kumalizia
Whatsap au piga CALL 673 601 114



















