House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


๐ฏ๏ธ Inapangishwa KIMARA BARUTI
๐ Kodi 170,000 X6
_____
_____
โข Jiko
โข Sebule
โข Chumba Master
โข choo cha wageni
* Inajitegemea UMEME
* Ndani ya Fensi
* HAINA Parking
* Maji ndani
* Sliding windows
#Umbali 1.5KM kutoka kituo cha Mwendokasi, usafiri bajaji 700, ukushuka unatembea dk 2 tu
๐ Angalizo: Kodi Inaambatana na hela ya tahadhari (caution money) 100k, Unavyohama inarudishwa kama haijaharibu nyumba
_______
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 170,000/=
#Kupelekwa kuona nyumba 15,000/=
โ:- 0753172516