Plot for sale at Maendeleo, Mbeya

 media -1
media -1
Sh. 72,000,000

JE WAJUA?🥸
.
Kuwekeza Kwenye Ardhi (Land Banking) kama Njia Mbadala ya Akaunti ya Akiba Benki

> "Badala ya kuweka pesa kwenye akaunti ya akiba benki kwa muda mrefu, wekeza kwenye ardhi."

âś… Land Banking ni nini?

Ni utaratibu wa kununua ardhi isiyoendelezwa kama uwekezaji, bila mpango wa haraka wa kuijenga.

Wakati mwingine hutumika na kampuni au mtu binafsi anayenunua ardhi kwa madhumuni ya kuijenga baadae.

🔄 Tofauti na Akiba Benki

Akiba benki huathirika na mfumuko wa bei (inflation) – thamani ya pesa hupungua kadri muda unavyopita.

Land banking ni uwekezaji tulivu (passive investment) wa hatari ndogo unaofaa kufikiriwa.

👤 Ni nani anafaa kuzingatia Land Banking?

▪︎Watu wenye biashara nzuri au ajira za uhakika.

▪︎Wale walio na akiba ya pesa isiyopangiwa matumizi ya haraka.

▪︎Watu wasiokuwa na muda wa kuendesha biashara au wasiopendelea hatari kubwa za kuanzisha miradi.

📍 Mfano Halisi

Rafiki yangu alinunua kiwanja chenye hati miliki Arusha–Ngaramtoni Kwa Iddi kwa Tsh. 15M mwaka 2018.

Alitaka kujenga, lakini changamoto zikatokea na akalazimika kuelekeza nguvu zake kwenye biashara.

Hadi sasa, kiwanja hicho kinauzwa kwa zaidi ya Tsh. 45M, bila hata maendeleo yoyote kufanyika!

Kama angekuwa alinunua ekari kwa Tsh.72M, leo angeweza kuuza kwa Tsh. 320M+.

đź§  Jambo la Kukumbuka

Hauhitaji kuwa na kampuni ili uwekeze kwenye land banking.

Unaweza kuwekeza kama mtu binafsi au kama kikundi.

Wakati unapanga cha kufanya, wekeza kwenye ardhi ili utakapofikia uamuzi fedha zako ziwe zimekuwa mara 3 hadi 10 kutegemeana na kasi ya kuongezeka thamani maeneo utakayowekeza.

🙏🏿

James Boniphacy
dalali_arusha01
James Boniphacy

Similar items by location

Plot for sale at Maendeleo, Mbeya

Sh. 72,000,000

JE WAJUA?🥸.Kuwekeza Kwenye Ardhi (Land Banking) kama Njia Mbadala ya Akaunti ya Akiba Benki> "Badal...

House for Rent at Maendeleo, Mbeya
  • Project

Sh. 17,000,000

KARIBUNI VIWANJA VINAUZWA LOCATION . NGARAMTONI YA CHINI KARIBU NA AIRPORT, —————- KWASASA NGARAMTON...

Plots for sale at Maendeleo, Mbeya
  • Project

Sh. 7,200,000

MRADI MPYA MWASONGA ELITESIFA ZA MRADI-MRADI UPO METER 800 KUTOKA BARABARANI-KM 3 KUTOKA MWASONGA CE...

Plot for sale at Maendeleo, Mbeya

Sh. 50,000,000

0688396025 PANAUZWA PAGALE JIPYA KABISA MWENYE NYUMBA HII KABANWA KIDOGONDUGU YANGU KAMA UNAYO PESA ...

Plots for sale at Maendeleo, Mbeya
  • By Installment
  • Project

Sh. 1,300,000

HELLO TANZANIA HELLO WAPENDA MAENDELEO NINA HABARI NJEMA. JE, UNAHITAJI KIWANJA KWA MAKAZI NA BIASHA...

Plots for sale at Maendeleo, Mbeya
  • By Installment
  • Project

Sh. 1,300,000

HELLO TANZANIA HELLO WAPENDA MAENDELEO NINA HABARI NJEMA. JE, UNAHITAJI KIWANJA KWA MAKAZI NA BIASHA...

Plots for sale at Maendeleo, Mbeya
  • Project

Sh. 172,024

Mkuu wa kitengo cha Maendeleo ya Biashara(HoBD) wa Perfect Property Company Ltd viwanja_nafuu viwanj...

Plots for sale at Maendeleo, Mbeya
  • Project

Sh. 172,024

Mkuu wa kitengo cha Maendeleo ya Biashara(HoBD) wa Perfect Property Company Ltd viwanja_nafuu viwanj...

Plots for sale at Maendeleo, Mbeya
  • By Installment
  • Project

Sh. 799,999

Nunua kiwanja sasa, na uwape watoto wako fursa ya maendeleo!________________________________________...

Plots for sale at Maendeleo, Mbeya
  • By Installment
  • Project

Sh. 799,999

Viwanja vyetu ni nafasi kamili kwa maendeleo ya ya kielimu ya watoto wetu!__________________________...