Plot for sale at Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C-IPO KARIB NA MJINI.

(Vyumba 03-Kimoja masta,seble,jiko,dining,public toilet!)

KIWANJA-500sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
____________________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
____________________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
_____________________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
_______________________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
____________________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

2 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 150,000

NAPANGISHA APARTMENT mpya 👉Chumba self na sebule na jiko📍Ipo Mtaa wa jitulize ukombozi👉Mjini kat...

2 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 115,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWAUMBALI YA 04 TOKA BARABARA YA LAMI________________________MAHALI-ILAZO (JIRANI N...

House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 115,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWAUMBALI YA 04 TOKA BARABARA YA LAMI________________________MAHALI-ILAZO (JIRANI N...

House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 680,000,000

NYUMBA INAUZWAEneo zuri kwa kujenga Aperntment UNATOKEA MJINI KUSHOTO INA SQM 330BEI ML 680 MAONGEZI...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 25,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KIKUYU DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 4 tu kutoka katikati ya Jiji Safin...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 25,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KIKUYU DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 4 tu kutoka katikati ya Jiji Safin...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 4,000,000

Je wewe ni mmoja wapo bado unateseka kupata viwanja vya mjini..?chagile real estate company ni mabig...

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 7,200,000

JIZAWADIE KIWANJA DODOMA CHRISTMAS HII🔥Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km 9 tu kutoka mjini!📍Ki...

House for Rent at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,000,000

JIZAWADIE KIWANJA DODOMA MJINI LEO Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km 9 tu kutoka mjini!📍Viwanja...

House for Rent at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,000,000

MALIZA MWAKA KIBABE KWA KUMILIKI ARDHI DODOMA📍Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km 9 tu kutoka mji...

House for Rent at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,000,000

Kata simu tupo site ✅✅Je,Unatafuta kiwanja cha uhakika Dodoma?Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km ...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 4,000,000

Je wewe ni mmoja wapo bado unateseka kupata viwanja vya mjini..?OMBA VIDEO YA MRADI UNAOUTAKA.chagil...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 29,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA CHIDACHI SOUTH DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 7 tu kutoka katikati ya Ji...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 4,000,000

Je wewe ni mmoja wapo bado unateseka kupata viwanja vya mjini..?chagile real estate company ni mabig...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 29,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA CHIDACHI SOUTH DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 7 tu kutoka katikati ya Ji...

House for Rent at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,000,000

Je,Unatafuta kiwanja cha uhakika Dodoma?Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km 9 tu kutoka mjini!📍Vi...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 27,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA CHIDACHI WEST DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 tu kutoka katikati ya Jiji...