Plot for sale at Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C-IPO KARIB NA MJINI.

(Vyumba 03-Kimoja masta,seble,jiko,dining,public toilet!)

KIWANJA-500sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
____________________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
____________________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
_____________________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
_______________________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
____________________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 27,000,000

KIWANJA KIZURI KINAUZWACHENYE FENSI CHOTE___________________________MAHALI-MEDELI (NYUMA YA BAMBALAG...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 27,000,000

KIWANJA KIZURI KINAUZWACHENYE FENSI CHOTE___________________________MAHALI-MEDELI (NYUMA YA BAMBALAG...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 22,000,000

KIWANJA KIZURI KINAUZWACHENYE FENSI CHOTE___________________________MAHALI-MEDELI (NYUMA YA BAMBALAG...

4 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 160,000,000

NYUMBA BORA NA NZURI INAUZWA ITEGA JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 3,700 sq.mIna vyumba vinneMaster bedr...

2 Bedrooms House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

#VYUMBA_VIWILI INAPANGISHWAIPO BOKO CHAMAINA VYUMBA VIWILI VYA KULALA SEBULE & JIKO & CHOOKODI Tsh L...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

📢 VIWANJA VINAUZWA – NGHONG’ONHA, DODOMA 🏡👉 Eneo: Nghong’onha, karibu na UDOM📍 Umbali: Km 1 kuto...

2 Bedrooms House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

#VYUMBA_VIWILI INAPANGISHWAIPO BOKO CHAMAINA VYUMBA VIWILI VYA KULALA SEBULE & JIKO & CHOOKODI Tsh L...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 38,000,000

NAUZA KIWANJA DODOMA MJINI MEDELI KIWANJA CHA PILI KUTOKA LAMI👉Ukubwa qmt 430 👉Document hati👉Hud...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,500,000

Karibu nikuuzie viwanja karibu kabisa na Eneo hili la Ringroad Dodoma(Barabara ya mzunguko)Eneo:NGHO...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

🏡 NDOTO YAKO YA KUMILIKI ARDHI INAANZA HAPA! 🌿REST REAL ESTATE | Viwanja vya Makazi – Nghong’onha–...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

🏡 NDOTO YAKO YA KUWA NA KIWANJA INAANZA HAPA! 🌿Tunauza viwanja bora kwa bei nafuu kabisa katika en...

3 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 36,000,000

NAUZA NYUMBA YA KUMALIZIA — MICHESE CENTER DODOMA 👉 MUUNDO 👉 Vyumba Vitatu Vya Kulala 👉 viwili ...

House/Apartment for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 400,000

*Apartment mpya kali*✅*Chumba 2, Moja master**Jiko la kisasa*✅*Seble*💯*Ndani ya Fence**Kodi 400,...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 45,000,000

👉KIWANJA KIZURI KINAUZWA👉USIKOSE NA HIKI➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖📍MAHALI- KISASA MWANGAZA ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖👉UKUBWA...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 88,000,000

👉KIWANJA KIZURI KINAUZWA👉USIKOSE NA HIKI➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖📍MAHALI- DODOMA ITEGA USHUANI ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖👉U...

Retail Space for Sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 300,000

FREMU INAUZWA POPULATED AREA ,PEMBENI YA RAMI NIMEWANYIMA PICHA KWA MAKSUDINBKODI HALISI NI LAKI 3 K...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 400,000,000

GOFU LINAUZWA LIPO MAGOMEN MAPIPA KUSHOTO UKITOKEA MJINI MMILIKI MMOJA LIPO PAZURI MNOO KWA APAITIME...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 550,000,000

GODOWN !!! GODOWN !!!Jenga Godown Dodoma, eneo Linatazama barabara ya lami (Singida road)Kilomita 5 ...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 550,000,000

GODOWN !!! GODOWN !!!Jenga Godown Dodoma, eneo Linatazama barabara ya lami (Singida road)Kilomita 5 ...

House/Apartment for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 300,000

Apartments mpya zinapangishwa Dodoma mjiniLocation:Makulu Oysterbay Kodi 300,000/= kwa mwezi Sifa 📌...