Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C-IPO KARIB NA MJINI.

(Vyumba 03-Kimoja masta,seble,jiko,dining,public toilet!)

KIWANJA-500sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
____________________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
____________________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
_____________________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
_______________________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
____________________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 400,000

#KODI 400000 K X6NYUMBA YA KUPANGA IPO #KIMARA_TEMBONI #ZIPO NYUMBA MBILI KWENYE FENSI MOJAKAMA U...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 13,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK F👉🏼SQM 525 UkubwaBlock F👉🏼Bei 13milion tuDocument Hati miliki 👉�...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 13,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK F👉🏼SQM 625 UkubwaBlock F👉🏼Bei 13milion tuDocument Hati miliki 👉�...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 7,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK M👉🏼SQM 525 UkubwaBlock M👉🏼Bei 7milion tuDocument offer ya CDA👉🏼...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 15,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK D👉🏼SQM 450 UkubwaBlock D👉🏼Bei 15milion tuDocument Hati miliki 👉�...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 8,800,000

KIWANJA KINAUZWA MAHUNGU BLOCK L👉🏼SQM 450 UkubwaBlock L👉🏼Bei 8.8milion tuDocument Hati miliki 👉...

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 23,000,000

Pagala linauzwa lipo chunya mjini Nikubwa Vyumba 5 Master mbiliBei million 23Spmet 1300 . Call me O...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 12,000,000

KIWANJA KINAUZWA MNADA MPYA DODOMA 👉SQM 750 kipo Block J 👉8km kutoka mjini na 1km kutoka stand ya...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 25,000,000

Nyumba inauzwa ipo Mbeya Mjini Old airport Bei million 25 Call O785027773

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 45,000,000

Hii sio ya kukosaa ndugu zangu Ni mpamaaa dodoma Karibu na mlimwa c dodoma Kiwanja kina ukubwa wa SQ...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

Frame inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

⚜️ Flem Kubwa Sana Hii Inapangishwa ⚜️ Mahari 👉 Dodoma Mjini Kati👉 Ipo Jirani na Dodoma Hotel 👉...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 35,000,000

KIWANJA KIZURI #KUNA UKUBWA WA SQM 450 KARIBU NA HOTEL EXPERANZA DODOMA MJINI DOCUMENTS:HATI✅Piga 06...

Shamba linauzwa Mjini, Ruvuma
  • Agriculture

Sh. 950,000

🌱 Shamba Ekari 60 Linauzwa!📍 Lipo Ititi, km 15 kutoka Singida Mjini💰 Tsh 950,000/ekari✅ Linafaa k...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

MPYAA KABISA HII UNAZINDUA MWENYEWE #KODI 500,000X6 LOCATION: #KIMARA_STOP_OVER 📌VYUMBA VIWILI VYA ...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...