House for sale at Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

2 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APATIMENTI KALI SANA INAPANGISHWA IPO KIMARA TEMBONI UMBALI KUTOKA MOROGORO ROAD NI KM. 2====USAFIL...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSICMAHALI: BAMBALAGA📌-----------------------------MUUNDO WA NYUMBA⏭️CHUM...

House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 1,000,000

NYUMBA HII INAPANGISHWA BEI MILLION 1 PIA IKO SOKON UKIFKA BEI TUNAMALIZA BIASHARA IKO MBEYA JIJI MA...

House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

NI CHUMBA MASTER BEDROOM KIKUBWA SEBULE KUBWA JIKO ZURI KUBWA ..IPO KIMARA KOROGWE KILUNGILE..KM 2 K...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSICMAHALI: MAKULU OSTERBAY-----------------------------MUUNDO WA NYUMBA⏭️...

4 Bedrooms House for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 30,000

STAND ALONE@Inapngishwa@Bei 2.000.000 kwa mwez‘@Mahali sizna @Malipo miez 6 na deposit mwez 1 na dal...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 180,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 180,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #CHU...

2 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

🏠 NAPANGISHA APARTMENT✨ Sifa za Nyumba:🛏️ Vyumba 2 (chumba 1 master)🛋️ Sebule🍳 Jiko🚻 Public toi...

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 1,000,000

NI NYUMBA KUBWA YA FAMILIA INAPANGISHWA INAJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI. STEND ALONE #KODI NI MIL...

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 1,000,000

NI NYUMBA KUBWA YA FAMILIA INAPANGISHWA INAJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI. STEND ALONE #KODI NI MIL...

Retail Space for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

FREM @Inapangishwa @Bei 500,000 kwa mwez @Mahali kijintonyama@Malipo miez 6 na dalali 7@Pazur sanaa@...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

APARTMENT FOR RENT. NYUMBA NAFAULISHAITAKUWA WAZI TAREHE 1.3.2026NYUMBA NZURI INAPANGISHWA LOCATION...

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 600,000

INAPANGISHWA STAND ALONE CLASSIC SANAMAHALI: MAKULU JIRANI NA LAMI-----------------------------MUU...

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 30,000

STAND ALONE@Inapangishwa @Bei 1.700.000 kwa mwez( maongez)@Mahali sinz@Ni nyumba ya vyumba 3 sebule ...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 20,000,000

UMEBAKI UWANJA MMOJA HAPO SQM 700 BEI MILLION 20 VETA ULAMBYA MBEYA JIJI MAWASILIANO 0756258721

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

🇹🇿#APARTMENT #INAPANGISHWA➖➖➖➖➖📍Kimara Stop Over🕑Dakika 15 Kutembea toka Morogoro Main RoadPIGA ...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 380,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 380,000/= X 6BILA KUSAHAU PESA YA TAHADHARI SHILINGI L...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 30,000

Apartment kali sanaa@Inapangishwa@Bei 250.000 kwa mwez@Mahali urafiki@Malipo miez 6 na dalali 7@Umem...

5 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 800,000

0679 997610 NYUMBA KUBWA YA KISASA YA FAMILIA INAJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI YAKE INAPANGISHWA BE...

5 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 800,000

NYUMBA KUBWA YA KISASA YA FAMILIA INAJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI YAKE INAPANGISHWA BEI NI 800,000...