Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 170,000

APARTMENT NZURI INAPANGISHWA KIMARA MWISHO KODI NI 170,000x3👈CHUMBA KIMOJA MASTASEBULE_KUBWAKIBALAZ...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 170,000

APARTMENT NZURI INAPANGISHWA KIMARA MWISHO KODI NI 170,000x3👈CHUMBA KIMOJA MASTASEBULE_KUBWAKIBALAZ...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT FOR RENT LOCATION KIMARA KONA DK 4 TOKA MOROGORO ROAD BEI NI 300,000/=X6SIFA ZAKE VYUMBA 2...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 43,000,000

PLOT NZURI MNO INAUZWA\/ \n\n📌LOCATION: #GOBA_KULANGWA\n\n✍️UKUBWA: SQM 900\n\n BEI : MILIONI 43\n...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 3,500,000

KIWANJA CHA TANO KUTOKA LAMI/RING ROAD KINAUZWA KITELELA JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 843 sq.mKina HA...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000,000

NYUMBA BORA NA NZURI INAUZWA CHANG'OMBE EXTENSION JIJINI DODOMAIna vyumba vinneMaster bedroom mbiliS...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

APARTMENT NZURI YA KISASA NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 500,000/= X 6 📌📌ITAKUA WAZI K...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT FOR RENT LOCATION KIMARA KONA DK 4 TOKA MOROGORO ROAD BEI NI 300,000/=X6SIFA ZAKE VYUMBA 2...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT FOR RENT LOCATION KIMARA KONA DK 4 TOKA MOROGORO ROAD BEI NI 300,000/=X6SIFA ZAKE VYUMBA 2...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSIC MAHALI: MAKULU JIRANI NA LAMI-----------------------------MUUNDO WA N...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 15,000,000

KIWANJA KIZURI KINAUZWA_______MAHALI-MAHUNGU (SINGIDA-MWANZA ROAD)_______UMBALI TOKA TOWN-8KM_______...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 43,000,000

PLOT NZURI MNO INAUZWA\/ \n\n📌LOCATION: #GOBA_KULANGWA\n\n✍️UKUBWA: SQM 900\n\n BEI : MILIONI 43\n...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 8,000,000

KIWANJA KINAUZWA MICHESE BLOCK YP JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 1,267 sq.mKipo kilometre moja toka sta...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 55,000,000

NYUMBA YAKUMALIZA INAUZWA MLIMWA C JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 500 + sq.mIna vyumba vitatuMaster bed...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

Apartment mpya @Inapangishwa @Bei 150,000 kwa mwez @Malipo miez 6 na dalali 7@Ni chumba kimoja maste...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 130,000

#AMKA NA HIII MASTER NZURI NA JIKO LAKE NDUGU MTEJAMASTER BEDROOM NA JIKO NZURI FOR RENT MBEZI KIBAN...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

NYUMBA NZURI YA KUPANGA 300K X6 KODI LAKI TATU MALIPO YA MIEZI SITA LOCATION. KIMARA KOROGWE KILUNGU...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 130,000

#AMKA NA HIII MASTER NZURI NA JIKO LAKE NDUGU MTEJAMASTER BEDROOM NA JIKO NZURI FOR RENT MBEZI KIBAN...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

NYUMBA NZURI YA KUPANGA 300K X6 KODI LAKI TATU MALIPO YA MIEZI SITA LOCATION. KIMARA KOROGWE KILUNGU...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 90,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWABEI MILLION 90 TOP PRICE 90MLAREA SINGIDA ROADMAHUNGU Street PLOT SIZE 450 SQMU...