House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
Sh. 100,000 per sqm
Project
Yes

SWIPE LEFT ➡️ UONE VIWANJA VYETU VIZURI

BUNJU BEACH, Bunju ambayo upepo unavuma kutoka baharini moja kwa moja ambayo ipo juu.

➡️ Eneo la Viwanja linaangalia barabara kubwa kabisa inayojengwa lami muda sio mrefu.

➡️ Hapa tumepima viwanja 17 tu na vyote vipo sehemu ambayo unatoka barabara kubwa unaingia ndani kwako hapo hapo.

➡️ Viwanja vimepimwa na vipo katikati ya maeneo ambayo yote yamepimwa na yamepangika vizuri, nadhan bunju beach wengi mnaijua kwa kupangika.

➡️ Ukihitaji na hatimiliki utapatiwa baada ya kumaliza malipo kwa kuchangia gharama kidogo.

➡️ Viwanja vipo sehemu ambayo unapata upepo wa bahari vizuri sana.

➡️ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

●●● Watu wa kujenga apartments hapa panawafaa pia tena sana maana kuna upepo wa bahari wa kutosha.

𝗕𝗘𝗜 𝗭𝗔 𝗩𝗜𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗘

Hapa tunauza sqm 1 kwa 100,000/=. Yaani tunamaanisha ukiwa na 45MILIONI unapata kiwanja hapa ushuani kabisa.

Ukubwa wa viwanja umeanzia sqm 446 mpaka sqm 875.

Inamaana ukihitaji kiwanja kikubwa zaidi unaruhusiwa kuunganisha viwanja viwili hadi vitatu ili mradi upate ukubwa unaotaka wewe.

Malipo ya hapa ni mkopo wa mwezi 1, utaanza na 80% ya bei ya kiwanja halafu inayobaki utamaliza ndani ya mwezi 1 tu.

𝗨𝗠𝗕𝗔𝗟𝗜 𝗪𝗔 𝗣𝗥𝗢𝗝𝗘𝗖𝗧 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔

Hakuna umbali wowote maana eneo limegusa barabara kubwa yaani uwanja wa simba road.

𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗟𝗘𝗭𝗢 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜 𝗧𝗨𝗣𝗜𝗚𝗜𝗘 𝗡𝗔𝗠𝗕𝗔 𝗛𝗜𝗭𝗜
#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima, inamiliki na yenye mamlaka ya kupauza hapa.

Tunajari wateja wetu.

Pia usisahau kutuFollow sustainablecities_company
sustainablecities_company sustainablecities_company

Fika ofisini kwetu 𝗧𝗘𝗩𝗜 𝗖𝗢𝗠𝗠𝗘𝗥𝗖𝗜𝗔𝗟 𝗣𝗔𝗥𝗞(𝗶𝗹𝗶𝗽𝗼 𝗡𝗕𝗖 𝗕𝗔𝗡𝗞), 𝗠𝗕𝗘𝗭𝗜 𝗕𝗘𝗔𝗖𝗛 𝗧𝗔𝗡𝗞𝗜 𝗕𝗢𝗩𝗨 - 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

3 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

Nyumba Inapangishwa. Inajitegemea, Ipo Bunju BIna Vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni Master, Dining...

House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

🌟 NYUMBA MPYA ZINAPANGISHWA 🌟📍 Mahali: BUNJU B – Mtaa mzuri sanaCHINI🛏️ Chumba Master🍳 Jiko💸 K...

3 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

Hii nyumba IPO bunju Inajitegemea ndani ya fensi Ina vyumba vitatu self contained mojaNi nyumba mpya...

3 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 295,000

NYUMBA YA KISASA INAUZWA • LOCATION (IPO) BUNJU BEACH MTAAA WA MATAJIRI TU! *• NYUMBA INAVYUMBA 3NA ...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

25/10/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3 AU 6VYUMBA 2 VYOTE MASTER SE...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

25/10/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3 AU 6VYUMBA 2 VYOTE MASTER SE...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

25/10/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3 AU 6VYUMBA 2 VYOTE MASTER SE...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

25/10/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3 AU 6VYUMBA 2 VYOTE MASTER SE...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

25/10/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3 AU 6VYUMBA 2 VYOTE MASTER SE...

1 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

🏡 NYUMBA YA KUPANGA – BUNJU MIANZIN (Apartments ZIPO 3, MOJA Ipowazi)🛏️ Chumba 3 kinapangishwa: • ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

📍NEW ✨ NICE APARTMENT 🏡🏘️ FOR RENT: IPO BUNJU A {DAR ES SALAAM} INA VYUMBA VIWILI VYOTE MASTER SE...

House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 350,000,000

NYUMBA INAUZWATSH MIL 350IPO BUNJU BEACH MOGAUKUBWA KIWANJA SQM 600NYARAKA INA HATI0712464777076907...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

24/10/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3 AU 6VYUMBA 2 VYOTE MASTER SE...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

24/10/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3 AU 6VYUMBA 2 VYOTE MASTER SE...

3 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

📍NYUMBA NZURI SANA 🏡🏘️ INAPANGISHWA: IPO BUNJU A {DAR ES SALAAM}INA VYUMBA VITATU CHUMBA KIMOJA M...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAMMAHALI- BUNJU ENEO-MOGA ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃NYUMBA MPYAA💯#CH...

3 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

🌟 STAYALONE INAPANGISHWA 🌟📍 Eneo: BUNJU B - Karibu na Main Road🏠 Muundo wa Nyumba: • 🛏️ Vyumba...

3 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

🌟 STAYALONE INAPANGISHWA 🌟📍 Eneo: BUNJU B - Karibu na Main Road🏠 Muundo wa Nyumba: • 🛏️ Vyumba...

3 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 250,000,000

Nyumba inauzwa bunju b mazingira bedroom's 3 self conteined all sitting room dining room kitchen pub...

3 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 250,000,000

Nyumba inauzwa bunju b mazingira bedroom's 3 square meter 1000 tsh 250 milion servants quarter