House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


300,000 x6
Itakuwa wazi 5/6/2024/
=========
NYUMBA INAPANGISHWA 
INA JITEGEMEA UMEME NA MAJI 
IPO KIMARA STOP OVER 
UMBALI KM 1
Ipondani ya fence parking kubwa sana 
-------boda boda 1000
Bajaji 500
 
Seble kubwa sana 
Vyumba viwili vya kulala kimoja master 
Jiko kubwa la kisasa 
Public toilet 
Maji yana flow
Luku  yako
Tiles 
Gypsum 
Service charge 15,000/
Kodi 300,000/=×6
--------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 300,000
0652 508128 
0753 989554 
======



















