4 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


๐ฏ๏ธInapangishwa STAND ALONE (Nyumba inayojitegemea yenyewe kwenye Fensi)
๐ KIMARA TEMBONI
๐ Kodi 600,000 X6
_____
_____
โข Vyumba 4 vya kulala (kati ya hivyo vyumba 2 ni master)
โข Sebule
โข Dinning
โข Jiko Zuri
โข Choo cha Familia
๐ Kuna SERVANT QUARTER ya Chumba na Jiko la Nje
* Inajitegemea Yenyewe kwenye fensi
* Garden
* Parking Kubwa sana
* Mazingira mazuri mno
#Umbali wa KM 2 Usafiri wa bajaji upo nauli 700/=
๐ Inakuwa wazi Tarehe 25/07/2024, kuona na kulipia ruksa
_______
๐ *MUHIMU SANA:-*
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 600,000/=
#Kupelekwa kuona nyumba 15,000/=
โ:- 0753172516