3 Bedrooms House for Sale in Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam
Chamazi, Dar Es Salaam
5 days ago
Sh. 79,000,000
Description
🏡 NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MILIONI 79 TU!
📍 Mahali: Chamazi Mikumi
🛣️ Dakika 1 tu kutoka barabara kuu ya lami.
Muundo wa nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Master Bedroom 2
✅ Sitting Room
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa
✅ Store
✅ Kisima cha maji
✅ Full AC
✅ Fensi ya waya wa umeme
🔥 Bei ni Milioni 79 tu!
Mwenye nyumba amevurugwa kifedha, hivyo hii ni nafasi nzuri kwa mnunuzi makini. Wahi kufika site ukague nyumba kabla haijachukuliwa.
📞 Kwa maelekezo zaidi, piga simu au WhatsApp: 0683 665504















