Search

4 Bedrooms House for sale in Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

Sh. 75,000,000

Description

šŸ” NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MBAGALA MAJI MATITU šŸ”

šŸ’° Bei: Milioni 75 Tu (Mazungumzo Yapoo!)

šŸ”„ Fursa adhimu kwa mnunuzi makini! Mmiliki amevurugwa kifedha na anauza nyumba yake kwa bei ya hasara. Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi.

✨ SIFA ZA NYUMBA: āœ… Vyumba 4 vya kulala
āœ… Vyumba 2 Master Bedroom
āœ… Sitting Room kubwa
āœ… Dining Room
āœ… Jiko la kisasa
āœ… Kisima cha maji
āœ… Umeme wa LUKU upo
āœ… Mazingira mazuri na salama kwa familia

šŸ“ Location: Mbagala Maji Matitu

⚔ Usikose fursa hii ya kupata nyumba nzuri kwa bei nafuu. Wahi kabla haijachukuliwa na mwingine!

šŸ“ž Kwa maelezo zaidi na kuangalia nyumba, piga simu:
0683 665504

šŸ  Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi. Wahi mapema! šŸ”‘

Similar properties in Mbagala, Dar Es Salaam

House for Sale in Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 100,000,000

For Salehouse