Search

5 Bedrooms House for Sale in Kigamboni, Geza Ulole, Dar Es Salaam (1350 sqm)

video thumbnail
Sh. 770,000,000

Description

🏑 GHOROFA INAUZWA – KIGAMBONI, GEZA ULOLE πŸ”₯

✨ FURSA NZURI YA KUMILIKI NYUMBA YA KISASA! ✨

Ghorofa nzuri inauzwa katika eneo la Kigamboni – Geza Ulole, eneo tulivu na linalofaa kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.

🏠 SIFA ZA NYUMBA:
βœ… Mfumo wa Ghorofa
βœ… Vyumba 5, vyote Master
βœ… Sebule kubwa
βœ… Dining
βœ… Jiko
βœ… Eneo kubwa lenye nafasi nzuri

πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1,350
πŸ“„ Nyaraka: Hati ya Wizara

πŸ“ UMBALI:
πŸ“Œ Mita chache kutoka Baba Alami
πŸ“Œ Takribani KM 11 kutoka Ferry
πŸ“Œ Takribani KM 10 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 770
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ Nyumba hii inafaa sana kwa makazi ya familia, uwekezaji, Airbnb au nyumba ya kifahari.

πŸ“ž Wasiliana nasi: 0769 554 221
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateforsale #trendingaudio

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam