5 Bedrooms House for Sale in Kigamboni, Geza Ulole, Dar Es Salaam (1350 sqm)

Amenities
Description
π‘ GHOROFA INAUZWA β KIGAMBONI, GEZA ULOLE π₯
β¨ FURSA NZURI YA KUMILIKI NYUMBA YA KISASA! β¨
Ghorofa nzuri inauzwa katika eneo la Kigamboni β Geza Ulole, eneo tulivu na linalofaa kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.
π SIFA ZA NYUMBA:
β
Mfumo wa Ghorofa
β
Vyumba 5, vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
β
Eneo kubwa lenye nafasi nzuri
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1,350
π Nyaraka: Hati ya Wizara
π UMBALI:
π Mita chache kutoka Baba Alami
π Takribani KM 11 kutoka Ferry
π Takribani KM 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° BEI: TZS MILIONI 770
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Nyumba hii inafaa sana kwa makazi ya familia, uwekezaji, Airbnb au nyumba ya kifahari.
π Wasiliana nasi: 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateforsale #trendingaudio















