5 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Kigamboni, Kigamboni, Dar Es Salaam
3 hours ago
Sh. 650,000,000
Type
House
Bedrooms
5
Plot Size
800 SQM
Nearest Road
1km
Amenities
Title Deed
Tiles
Wardrobes
New Construction
Surveyed Land
Modern Kitchen
Description
🏡 NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI GEZAULOLE
Nyumba nzuri ya kisasa yenye mfumo wa ghorofa inauzwa katika eneo tulivu na lenye maendeleo.
✨ Sifa za Nyumba:
• Vyumba 5 (Vitatu Master)
• Sebule kubwa
• Dining
• Jiko la kisasa
• Nyumba mpya kabisa (haijawahi kukaliwa)
📐 Ukubwa wa Eneo: SQM 800
📄 Umiliki: Hati kamili ya Wizara
🚗 Umbali: Takribani KM 1 kutoka barabara ya lami hadi kwenye nyumba
💰 Bei: TZS Milioni 650 (Class B)
🤝 Maongezi yapo kidogo kwa mteja makini
🌿 Mazingira ni mazuri, salama na yanafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
📞 Wasiliana nasi: 0769554221
#trendingvideos #tanzania🇹🇿 #istagram #realestateagent #trendingnow
