Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA โ KIGAMBONI GEZAULOLE
Nyumba nzuri ya kisasa yenye mfumo wa ghorofa inauzwa katika eneo tulivu na lenye maendeleo.
โจ Sifa za Nyumba:
โข Vyumba 5 (Vitatu Master)
โข Sebule kubwa
โข Dining
โข Jiko la kisasa
โข Nyumba mpya kabisa (haijawahi kukaliwa)
๐ Ukubwa wa Eneo: SQM 800
๐ Umiliki: Hati kamili ya Wizara
๐ Umbali: Takribani KM 1 kutoka barabara ya lami hadi kwenye nyumba
๐ฐ Bei: TZS Milioni 650 (Class B)
๐ค Maongezi yapo kidogo kwa mteja makini
๐ฟ Mazingira ni mazuri, salama na yanafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
๐ Wasiliana nasi: 0769554221
#trendingvideos #tanzania๐น๐ฟ #istagram #realestateagent #trendingnow
