Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 650,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Ukubwa

800 SQM

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Hati
Tiles
Makabati
Mpya
Ardhi Iliyopimwa
Modern Kitchen

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA โ€“ KIGAMBONI GEZAULOLE

Nyumba nzuri ya kisasa yenye mfumo wa ghorofa inauzwa katika eneo tulivu na lenye maendeleo.

โœจ Sifa za Nyumba:
โ€ข Vyumba 5 (Vitatu Master)
โ€ข Sebule kubwa
โ€ข Dining
โ€ข Jiko la kisasa
โ€ข Nyumba mpya kabisa (haijawahi kukaliwa)

๐Ÿ“ Ukubwa wa Eneo: SQM 800
๐Ÿ“„ Umiliki: Hati kamili ya Wizara
๐Ÿš— Umbali: Takribani KM 1 kutoka barabara ya lami hadi kwenye nyumba

๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 650 (Class B)
๐Ÿค Maongezi yapo kidogo kwa mteja makini

๐ŸŒฟ Mazingira ni mazuri, salama na yanafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi: 0769554221

#trendingvideos #tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #istagram #realestateagent #trendingnow