1 Bedroom Apartment for Sale in Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (350 sqm)
Amenities
Description
ποΈ APARTMENTS ZINAUZWA β KINYEREZI KIBAGA
π₯ Fursa Adimu ya Uwekezaji!
π Eneo: Kinyerezi Kibaga
π° Bei: Milioni 65tu
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 350
Sifa za Nyumba:
β
Apartments 3
β
Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
β
Zipo ndani ya fensi
β
Gari linafika hadi kwenye nyumba
β
Maji na umeme vinapatikana
β
Zote tayari zimepangishwa
π΅ Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.
π Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000β350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.
π₯ Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.
π Service Charge: 30,000/=
π Wasiliana:
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!














