Tafuta

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (350 sqm)

Sh. 65,000,000

Maelezo

🏘️ APARTMENTS ZINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA

πŸ’₯ Fursa Adimu ya Uwekezaji!

πŸ“ Eneo: Kinyerezi Kibaga
πŸ’° Bei: Milioni 65tu
πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 350

Sifa za Nyumba:

βœ… Apartments 3
βœ… Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
βœ… Zipo ndani ya fensi
βœ… Gari linafika hadi kwenye nyumba
βœ… Maji na umeme vinapatikana
βœ… Zote tayari zimepangishwa

πŸ’΅ Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.

πŸ“ˆ Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000–350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.

πŸ”₯ Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.

πŸ“ž Service Charge: 30,000/=
πŸ“ž Wasiliana:

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kifuru, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 140,000,000

For Sale3 beds1 bath700 sqmapartment
Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kifuru, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 140,000,000

For Sale3 beds1 bath700 sqmapartment
Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kifuru, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 140,000,000

For Sale3 beds1 bath700 sqmapartment
Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 58,000,000

For Sale3 beds3 baths400 sqmapartment
Dalali Tabata