Search

Hospital for Sale in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Sh. 9,500,000,000

Description

Hospitali hiyo inauzwa ipo Kimara Korogwe

inauzwa na kila kitu chake kilichokuwepo ndani

hii Hospitali ipo kwenye ngazi ya Hospitali ya Wilaya inafanya kazi masaa24

Hospitali ni kubwa na inajulikana

sana mmiliki ni mmoja na ina Hati ya kisasa ya wizara

mwenyewe ameamua kuuza mali yake anauza Bil 9.5

Kazi hii ni nzuri sana na imenyooka haina konakona

kukagua mda wowote hakuna masharti. 0782636396 wasp

Similar properties in Kimara, Dar Es Salaam