4 Bedrooms House for Sale in Goba Center, Dar Es Salaam (800 sqm)
Amenities
Description
π
NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA (530M) π β¨
π GOBA CENTER - DAR ES SALAAM
Acha kuendelea kupanga au kutafuta nyumba ya kurekebisha!
π« Hii hapa nyumba mpya, ya kisasa na iliyokamilika kila kitu, ipo eneo la kitalii na la kishua la Goba Center! ποΈπ
Sifa za Nyumba π:
ποΈ Vyumba 4 vya Kulala: Vyumba 3 ni Self-Contained (Ikiwemo Master Bedroom ya kifahari π)
ποΈ Sebule Kubwa (Sitting Room): Ya kisasa na yenye nafasi ya kutosha
π½οΈ Dining Room: Sehemu safi ya chakula cha familia
π³ Jikoni (Kitchen): Yenye kabati za kisasa
π¦ Store: Kwa ajili ya hifadhi ya vitu vyako
πΏ Public Toilet: Kwa ajili ya wageni
π Ukubwa wa Kiwanja: SQMT 800 (Eneo kubwa la maegesho ya magari π na bustani nzuri π΄)
π§ Maji Safi: DAWASCO yapo tayari
β‘ Umeme: Upo tayari na unawaka
Umiliki na Usalama π:
π Hati Miliki (Clean TITLE DEED): Kutoka Wizara ya Ardhi β Unanunua ukiwa na amani ya 100%! π‘οΈ
π° BEI: TSh 530,000,000/= (MAONGEZI YAPO! π€)
Nyumba kali kama hii Goba Center haikai sokoni muda mrefu! β³
π² Piga simu au tuma WhatsApp sasa hivi: ukague na uimiliki leo! ππ₯















