Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 530,000,000

Maelezo

πŸ“ž

NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA (530M) 🏠✨

πŸ“ GOBA CENTER - DAR ES SALAAM

Acha kuendelea kupanga au kutafuta nyumba ya kurekebisha!

🚫 Hii hapa nyumba mpya, ya kisasa na iliyokamilika kila kitu, ipo eneo la kitalii na la kishua la Goba Center! πŸ™οΈπŸ’Ž

Sifa za Nyumba πŸ‘‘:

πŸ›οΈ Vyumba 4 vya Kulala: Vyumba 3 ni Self-Contained (Ikiwemo Master Bedroom ya kifahari πŸ‘‘)

πŸ›‹οΈ Sebule Kubwa (Sitting Room): Ya kisasa na yenye nafasi ya kutosha

🍽️ Dining Room: Sehemu safi ya chakula cha familia

🍳 Jikoni (Kitchen): Yenye kabati za kisasa

πŸ“¦ Store: Kwa ajili ya hifadhi ya vitu vyako

🚿 Public Toilet: Kwa ajili ya wageni

πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQMT 800 (Eneo kubwa la maegesho ya magari πŸš— na bustani nzuri 🌴)

πŸ’§ Maji Safi: DAWASCO yapo tayari

⚑ Umeme: Upo tayari na unawaka

Umiliki na Usalama πŸ“œ:
πŸ“„ Hati Miliki (Clean TITLE DEED): Kutoka Wizara ya Ardhi β€” Unanunua ukiwa na amani ya 100%! πŸ›‘οΈ

πŸ’° BEI: TSh 530,000,000/= (MAONGEZI YAPO! 🀝)

Nyumba kali kama hii Goba Center haikai sokoni muda mrefu! ⏳

πŸ“² Piga simu au tuma WhatsApp sasa hivi: ukague na uimiliki leo! πŸ“žπŸ”₯

DALALI AMANI

dalali_goba_madale_makongo

@dalali_goba_madale_makongo

View Listings

Matangazo mengine Goba, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam (2500 sqm)

Sh. 1,400,000,000

For Sale8 beds2,500 sqmhouse
Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam (2500 sqm)

Sh. 1,400,000,000

For Sale8 beds2,500 sqmhouse
DALALI AMANI