5 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 650,000,000

Type

House

Bedrooms

5

Plot Size

800 SQM

Nearest Road

1km

Amenities

Title Deed
Tiles
Wardrobes
New Construction
Surveyed Land
Modern Kitchen

Description

๐Ÿก NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA โ€“ KIGAMBONI GEZAULOLE

Nyumba nzuri ya kisasa yenye mfumo wa ghorofa inauzwa katika eneo tulivu na lenye maendeleo.

โœจ Sifa za Nyumba:
โ€ข Vyumba 5 (Vitatu Master)
โ€ข Sebule kubwa
โ€ข Dining
โ€ข Jiko la kisasa
โ€ข Nyumba mpya kabisa (haijawahi kukaliwa)

๐Ÿ“ Ukubwa wa Eneo: SQM 800
๐Ÿ“„ Umiliki: Hati kamili ya Wizara
๐Ÿš— Umbali: Takribani KM 1 kutoka barabara ya lami hadi kwenye nyumba

๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 650 (Class B)
๐Ÿค Maongezi yapo kidogo kwa mteja makini

๐ŸŒฟ Mazingira ni mazuri, salama na yanafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi: 0769554221

#trendingvideos #tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #istagram #realestateagent #trendingnow