Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 650,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Ukubwa

800 SQM

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Hati
Tiles
Makabati
Mpya
Ardhi Iliyopimwa
Modern Kitchen

Maelezo

🏡 NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI GEZAULOLE

Nyumba nzuri ya kisasa yenye mfumo wa ghorofa inauzwa katika eneo tulivu na lenye maendeleo.

✨ Sifa za Nyumba:
• Vyumba 5 (Vitatu Master)
• Sebule kubwa
• Dining
• Jiko la kisasa
• Nyumba mpya kabisa (haijawahi kukaliwa)

📐 Ukubwa wa Eneo: SQM 800
📄 Umiliki: Hati kamili ya Wizara
🚗 Umbali: Takribani KM 1 kutoka barabara ya lami hadi kwenye nyumba

💰 Bei: TZS Milioni 650 (Class B)
🤝 Maongezi yapo kidogo kwa mteja makini

🌿 Mazingira ni mazuri, salama na yanafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.

📞 Wasiliana nasi: 0769554221

#trendingvideos #tanzania🇹🇿 #istagram #realestateagent #trendingnow