Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA 
➖➖➖➖➖
📍Kimara korogwe 
🕑umbali kutoka stand ya mwendo kasi dk 12 -15 usafili boda 1000 mpaka getini kwako 
📌Hii inakuwa wazi Tar 05/08/2025 kuona na kufanya malipo ruksa endapo mpangaji atakuwepo 
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Jiko 
🔹 Dining 
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow ndani
🔹Fenced Car Parking Kubwa 
👉hela ya tahadhali mwezi mmoja 
🔶Kodi Tsh 250, 000/=×6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Tsh 250, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347



















