Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3 KWA BEI RAFIKI YA TSHS.35 MILIONI TU.
Ipo UKONGA MOMBASA.
Jirani na Kotuo cha Daladala.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
WAHI HAIKAI HII.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mskv



















