Shamba linauzwa Mkuranga, Pwani


SHAMBA-ASILI-ZURI, EKARI 10,TSHS.60 MILIONI,KIIMBWANINDI,MKURANGA.
Ni Shamba PORI lenye Rutuba ya Asili.
Lipo baada ya Kijiji cha MWALUSEMBE.
Umbali wa kilomita 4 tu kutoka
Barabara ya KILWA/KUSINI.
Ni Safari ya kilomita 80 kutoka Dar Mjini.
SHAMBA LINAHITAJI KUSAFISHWA.
Ndani yake kuna Mikorosho-Mikongwe kadhaa.
Eneo lake limezingirwa na Wawekezaji wakubwa.
Ardhi yake ni Rafiki kwa Mazao ya aina kadhaa.
Karibia ili uje ujionee wenzako.
Kilimo,Ufugaji au Uzalishaji hapa patakufaa.
Nakushauri uwahi usijekujutia.
Ewe Muwekezaji,Mstahafu au
MfanyiBiashara kumbuka Ardhi haiozi.
Umiliki MKATABA WA MAUZIANO.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________slma














