Mashamba yanauzwa Salama, Mara


Mzigo mpyaaa wa Mashamba Bagamoyo Kiwangwa teena π₯π₯
Mashamba salama sasa yameanza Kuadimika π
Mashamba yanapatikana kwa uchache mnooo
Bei ya ekari 1.5M
Lipa laki 1 tu kila mwezi kwa Miezi 15 hakuna % ya kuanzia
Mashamba ya 15km kutoka Lami
Lipa Nanasi, Mihogo, Migomba, Miembe, mahindi nk
Unaweza kuishi Pia Mradi upo Kijijini kabisa (Talawanda)
Ukilipa Mara 1 unapata 10% discount kama kawaida
Tunaenda Jumamosi
#0657907091