Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
media -2
media -3
Sh. 3,300,000
Project
Yes

JE WEWE NI MMOJA WAPO UNAYEITAJI/KUHANGAIKA KUPATA VIWANJA VYA MJINI....!?
..
Hii inakuhusu wewe unayeitaji kupata viwanja vya mjini, ambavyo vina huduma zote za muhimu.
Chagile Real Estate ni mabingwa na wazoefu wa hizi kazi, kwa zaidi ya miaka mitano.
Piga/WhatsApp
0654 77 39 67
0752 74 47 81
..
Tumekuandalia miradi yetu MITATU ya viwanja MBAGALA VIKINDU MJINI hupaswi kukosa kabisa ndugu mtanzania tena kwa bei rahisi na zakizawa.
..
Ni Viwanja Vizuri Na mji uliopangiliwa kisasa zaidi, viwanja vimepimwa ni tambarare na vimezunguka na huduma muhimu za kijamii, kama hospitali, shule za serikali, maji, umeme, vituo vya polisi na usafiri wa bajaji na bodaboda upo kila siku.

1]MRADI WA VIKINDU VIANZI MJINI.
Mradi wetu wa Vikindu Vianzi mjini bei zake ni TSh million 2.6 [tsh 2,600,000 /=] kwa millioni 3.3 TU [tsh 3,300,000/]. Malipo kwa awamu mbili utaanza na asilimia 50% hadi 70% kiasi kinachobakia utapewa miezi 3 paka 4
Mradi upo 3km kutoka lami.
Viwanja ni vizuri kwa ujenzi wa APARTMENT, makazi na biashara, maji yapo kwenye mradi, umeme upo kwenye mradi, bajaji mia 700 tu.
Ukubwa viwanja kuanzia sqm 200(40X50futi) ,400,600,800,1000.
..
2]MRADI WA VIKINDU CHANG'OMBE.
Bei Ya kiwanja kwenye miradi huu million 1.3 tu [tsh 1,300,000/=], utaanza na LAKI NANE TU ( TSH 800,000/=) kiasi kinachobakia utapewa miezi 3.
Maji yapo site, umeme upo karibu, viwanja vipo karibu kabisa na barabara kubwa ya ndani.
Mradi upo 6km kutoka lami.
Bajaji tsh 1000 paka site.
Ukubwa kuanzia sqm 200(40X50futi) , 400, 600,800,1000.
..
Usafiri wa kufika hapa VIKINDU kutoka Kariakoo, Posta, tandika, temeke, feryy ni uhakika muda wote, unapanda gari moja tu kutoka maeneo hayo.
..
NB. Karibu kuona viwanja kila siku, tupo kuanzia saa 4 asubuhi paka 10 jioni.
OFISI ZETU ZIPO VIKINDU.

Safari hii ushindwe ww tu kujenga na chagile Real Estate.

Ardhi ni hazina na fainali ni uzeeni kijana mwenzangu.

..
chagile_real_estate_tz
chagile_real_estate_tz

..
#simbasc #yangasc #tanzania #rayvanny#zuchu #azamsports2

Chagile Real Estate TZ |WAUZAJI VIWANJA [PLOTS SERVICES]
chagile_real_estate_tz
Chagile Real Estate TZ |WAUZAJI VIWANJA [PLOTS SERVICES]

Similar items by location

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

Frame inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

⚜️ Flem Kubwa Sana Hii Inapangishwa ⚜️ Mahari 👉 Dodoma Mjini Kati👉 Ipo Jirani na Dodoma Hotel 👉...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 35,000,000

KIWANJA KIZURI #KUNA UKUBWA WA SQM 450 KARIBU NA HOTEL EXPERANZA DODOMA MJINI DOCUMENTS:HATI✅Piga 06...

Shamba linauzwa Mjini, Ruvuma
  • Agriculture

Sh. 950,000

🌱 Shamba Ekari 60 Linauzwa!📍 Lipo Ititi, km 15 kutoka Singida Mjini💰 Tsh 950,000/ekari✅ Linafaa k...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

MPYAA KABISA HII UNAZINDUA MWENYEWE #KODI 500,000X6 LOCATION: #KIMARA_STOP_OVER 📌VYUMBA VIWILI VYA ...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

APPARTMENT INAPANGISHWA KARIBU NA MJINI______MAHALI-AREA C ______MUUNDO -VYUMBA 03(01 MASTA)-SEBULE-...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 150,000

NAPANGISHA APARTMENT mpya 👉Chumba self na sebule na jiko📍Ipo Mtaa wa jitulize ukombozi👉Mjini kat...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 350,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KISASA MWANGAZA DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 5 kutoka katikati ya Jiji ...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 115,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWAUMBALI YA 04 TOKA BARABARA YA LAMI________________________MAHALI-ILAZO (JIRANI N...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 115,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWAUMBALI YA 04 TOKA BARABARA YA LAMI________________________MAHALI-ILAZO (JIRANI N...

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 680,000,000

NYUMBA INAUZWAEneo zuri kwa kujenga Aperntment UNATOKEA MJINI KUSHOTO INA SQM 330BEI ML 680 MAONGEZI...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 25,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KIKUYU DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 4 tu kutoka katikati ya Jiji Safin...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 25,000,000

*KIWANJA KIZURI KINAUZWA KIKUYU DODOMA MJINI*Umbali wa Kilometer 4 tu kutoka katikati ya Jiji Safin...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 4,000,000

Je wewe ni mmoja wapo bado unateseka kupata viwanja vya mjini..?chagile real estate company ni mabig...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 7,200,000

JIZAWADIE KIWANJA DODOMA CHRISTMAS HII🔥Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km 9 tu kutoka mjini!📍Ki...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,000,000

JIZAWADIE KIWANJA DODOMA MJINI LEO Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km 9 tu kutoka mjini!📍Viwanja...

Nyumba inapangishwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,000,000

MALIZA MWAKA KIBABE KWA KUMILIKI ARDHI DODOMA📍Eneo:Nghong’onha (Karibu na UDOM)📍Km 9 tu kutoka mji...