Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


📅 19/08/2025
🌟 CHUMBA MASTER + SEBULE + JIKO NDANI YA FENSI ZIPO 2 🌟
📍 Mahali: Bunju – Dakika 1 kutoka Main Road
⸻
🏠 Muundo wa Nyumba:
• 🛏️ Chumba kimoja cha kulala (Master)
• 🛋️ Sebule kubwa yenye nafasi
• 🍳 Jiko
• ⚡ Umeme: Unajitegemea
• 🚿 Maji: Mnashare wawili
⸻
💰 Kodi: Tsh 250,000/= kwa mwezi
🔒 Malipo ya mwanzo: Miezi 6
📌 NOTE: Njoo ulipie chap, ndani ya siku 5 kuanzia leo itakuwa imekamilika.
⸻
📞 Wasiliana Nami Leo:
• 📲 0687 800 788
• 📲 0713 958 395



















