Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Bunju, Dar Es Salaam







Nyumba Inauzwa, Bunju A
Kutoka lami kilo mita 1 na nusu
Bei ni Shilingi Milioni 70
Ukubwa wa Kiwanja ni Sqm 900
Ina Vyumba Vinne vya kulala, vyote ni Master,Dining Room, Sitting Room, Kitchen, Public Toilet.
Hati miliki ipo
Gharama ya kuona
20000
Wasiliana nami
0718 809 744



















