Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA MPYA YAKUHAMIA VYUMBA 4, TSHS.68 MILIONI. KIVULE. 
Kiwanja  SQM.360.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. 
Vyumba  4 (masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. 
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000. 
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. 
+255 714 591 548
___________mskv




















