Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Wazo, Dar Es Salaam


Nyumba Nzuri Sana Inauzwa
Mahali: Tegeta Wazo Kontena
Bei: Milioni 400 (Mazungumzo)
☑️Ukubwa: Sqm1094
☑️Sifa: Vyumba 4, Viwili Ni Master Sebule, Dining, Library, Jiko Store & Choo
☑️Umiliki: Hati Ya Wizara
☑️Umbali: Mita 120 Kutoka Lami, Barabara Ni Mkeka.
☑️Decorations Nzuri San Ndani
☑️Maji Ya Bomba Na Kisima.
☑️Mabanda Ya Kufugia.
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.
Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)
Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988, 0622651649, 0650659988
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle


















