Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam







π‘ NYUMBA INAPANGISHWA β STAND ALONE
π Nyumba iko ndani ya fensi (usalama wa kutosha)
π Mahali: Bunju - Mingoi
π Maelezo ya Nyumba:
ποΈ Vyumba 3 vya kulala (1 ni Master)
ποΈ Sebule yenye nafasi
π½οΈ Chumba cha kulia chakula (Dining)
π³ Jiko zuri lenye nafasi
ποΈ Stoo
π½ Public Toilet
π° Kodi: Tsh 300,000/= kwa mwezi
π§ Service Charge: Tsh 20,000/=
π Wasiliana nasi:
WhatsApp/Simu: 0687 800 788