Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha, Pwani


NYUMBA YENYE VYUMBA 3, TSHS.60 MILIONI TU., KIBAHA-MADAFU. 
Na hii ni nafasi yako nyingine......
MADAFU-KIBAHA ni umbali wa kilomita 48 tu kutoka Dar es Salaam Mjini 
(Mwendo wa Saa 1:40 kwa Gari)
Na hii nyumba ipo mita 200 tu kutoka Barabara ya Morogoro. 
Ni nyumba  ambayo inajitegemea.
Ipo ndani ya Fensi,
Pia ina Banda la vyumba 2 ambalo HALIJAKAMILIKA ujenzi.
Nyumba Ina vyumba 3 (Masta 1)
Pia ona Sebule, 
Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. 
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400. 
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. 
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000 
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. 
+255 714 591 548
______________mpg




















