Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA VYUMBA 3,TSHS 35 MILIONI,
KIVULE.
Hapa ni KIVULE FREMKUMI.
Nyumba nzuri inayojitegemea.
Vyumba 3(Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 280.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________mskv