Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.57 MILIONI, KIVULE/MSONGOLA.
Hii ni nyumba ya KUHAMIA.
Ipo jirani na Kituo cha Daladala.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko ,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________mskv