Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE NAFASI,VYUMBA 3,TSHS.50 MILUINI,KIVULE-FREM10/JOHN FEDHA.
Kiwanja SQM 1,250.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii nyumba inahitaji Umakiziaji mdogo.
Ipo ndani ya Fensi safi.
Vyimba 3 vya kulala (Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Unaweza kujenga zaidi kwani eneo ni kubwa lipo wazi.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mskv


















