Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


๐น๐ฟ #APARTMENT #INAPANGISHWA
โโโโโ
๐Kimara Mwisho
๐Dakika 4-5 Kutembea toka Mwendokasi
#SIFAZAKE
๐นChumba Kimoja Master
๐นSebule
๐นJiko kubwa
๐นUmeme Luku yake & Maji yanaflow ndani
๐นFenced Car parking kubwa
๐นPavings Zimeshawekwa
๐Zipo 4 tu hapa, na hii Moja Inapangishwa, Iwahi
๐ถKodi Tsh 250,000/=ร6(Miezi Sita)
๐ถMalipo ya Dalali Jose Tsh 250,000/=
๐ถService Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu ๐
,
#0688573777. ๐&Whatsapp
,
#Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐