Viwanja vinauzwa Ntyuka, Dodoma


Nafasi ya pekee ya kumiliki Viwanja Dodoma mjini
Eneo ni CHIDACHI NTYUKA✅
📌Km 9 kutoka Dodoma mjini
📌km 6 kutoka stesheni Sgr
📌Viwanja vimepimwa ✅
📌Barabara,maji na umeme vipo site
📌Malipo kwa awamu 6
📌Ukubwa kuanzia sqm 400,500,600,800 hadi 5000
Bei kuanzia mil 3.5 ✅
Mawasiliano: 0768 333 054