Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 3,500,000
Project
Yes

KAWAIDA YETU KUUZA ENEO LIKIWA SAFI NA MUONEKANO MZURI

ZINGA KANISANI.

NJIA KUELEKEA KANISA LA ROMA.

ENEO LIPO KATI YA KEREGE NA ZINGA TOWN BAGAMOYO

● Bei tunauza sqm 1 kwa 18,000Tsh na malipo ni kwa awamu mpaka miezi sita(6) yaani kiwanja cha ukubwa wa 20mita kwa 20mita unapata kwa 7milioni na hiyo unalipa kwa miezi sita tu.

Malipo utaanza na 3.5milioni tu, nyingine utalipa kwa awamu ya miezi sita(6).

Ukimaliza malipo utafutaji wa hatimiliki unaanza hapohapo bila kuchelewa.

● Hapa tumepima viwanja 50 tu na vyote tunaviuza viwanja vyenye ukubwa wa 20*20 mpaka 30*40 namaanisha 400sqm,500sqm,600sqm,700sqm,800sqm,900sqm mpaka 1200sqm vipo kwa hiyo utaamua wewe unachukua ukubwa upi.

● Mradi upo mita 500 kutoka barabara kubwa ya lami yanapopita mabasi, unatembea kwa miguu kufika kituoni.

● Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

● Mitaa tumeichonga vizuri na barabara za mitaa tumeweka kubwa size ya 10mita. Unangoja nin kununua sehemu kama hii maana bei ni kama tumegawa bure.

● Majirani wapo tayari na huduma kama maduka ya vitu vidogo vidogo yapo hapo hapo site.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI

#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima na yenye mamlaka ya kupauza hapa, haruhusiwi mtu yeyote kukanyaga kwenye eneo bila ruhusa ya kampuni.

Tunawajari sana wateja wetu.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

NEW APARTMENT HOUSE FORRENTIKO-DAR-ES-SALAAMLOCETION _ MBEZI BEACH AFRICANA CHUMBA_SEBULE_JIKO_CHOOK...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

NEW APARTMENT HOUSE FORRENTIKO-DAR-ES-SALAAMLOCETION _ MBEZI BEACH AFRICANA CHUMBA_SEBULE_JIKO_CHOOK...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000

Plot for saleCountry:- TanzaniaCity:- Dar es salaamLocation:- Mbezi beach Upande wa chiniSecond plot...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

$ 400,000

Plot for saleCountry:- TanzaniaCity:- Dar es salaamLocation:- Mbezi beach Upande wa chiniSecond plot...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

(350,000 × 6) MBEZI KIBANDA CHA MKAA#𝙇𝙤𝙘𝙖𝙩𝙞𝙤𝙣: Mbezi Kibanda Cha MkaaUmbali wa Kilomita 1 Ku...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

(350,000 × 6) : Mbezi Kibanda Cha MkaaUmbali wa Kilomita 1 Kutoka Main Road, Barabara ni Nzuri Bajaj...

Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 1,000,000

#VYUMBA_VITATU_VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENTIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBEZI BEACH MAKONDE ——...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

NYUMBA MPYA KALI INAPANGISHWA IPO MBEZI MALAMBA DSM, DK 8 KWA MIGUU TOKA LAMI. _____________________...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

(350,000 × 6) MBEZI KIBANDA CHA MKAA#𝙇𝙤𝙘𝙖𝙩𝙞𝙤𝙣: Mbezi Kibanda Cha MkaaUmbali wa Kilomita 1 Ku...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

(350,000 × 6) MBEZI KIBANDA CHA MKAA#𝙇𝙤𝙘𝙖𝙩𝙞𝙤𝙣: Mbezi Kibanda Cha MkaaUmbali wa Kilomita 1 Ku...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

(350,000 × 6) MBEZI KIBANDA CHA MKAA#𝙇𝙤𝙘𝙖𝙩𝙞𝙤𝙣: Mbezi Kibanda Cha MkaaUmbali wa Kilomita 1 Ku...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

APATIMENTI KALI SANA INAPANGISHWA KODI. 150,000/=X3IPO MBEZI MAGUFULI UMBALI KUTOKA STENDI NI KM 3US...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 600,000/= ×6 TU__MBEZI KWA MSUGURI HAPA MBIO ...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

APATIMENTI KALI SANA INAPANGISHWA KODI. 150,000/=X3IPO MBEZI MAGUFULI UMBALI KUTOKA STENDI NI KM 3US...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 170,000,000

Nyumba Nzuri Ya Kisasa InauzwaMahali: Mbezi Beach JogooBei: Milioni 170 (Mazungumzo)Mita 500 Kutoka ...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 100,000,000

Nyumba Nzuri InauzwaMahali: Mbezi Beach JogooBei: Milioni 100☑️Ukubwa: Sqm302☑️Nyumba Kubwa: Vyumba ...

Nyumba inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 810,000,000

HOUSE FOR SALE MBEZI BEACH NEAR ROAD UKUBWA WA KIWANJA - SQM 1,200UMILIKI - HATI YA WIZARA ( TITLE ...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

(250,000X6)MBEZI LUGURUNI________________APARTMENT FOR RENT LOCATION MBEZI LUGURUNI UMBALI WA KM 1 H...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 300,000

House for rent Nyumba kali sana Mahali: Mbezi beach makonde Bei: 300,000 Kwa MweziMalipo: Miezi 6☑️K...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

#0742260844_#0657384670.APARTMENT YA VYUMBA VIWILI INAPANGISHWA MBEZI MAKABE 🇹🇿🇹🇿 KODI: TSH. 300...