Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 3,500,000
Project
Yes

KAWAIDA YETU KUUZA ENEO LIKIWA SAFI NA MUONEKANO MZURI

ZINGA KANISANI.

NJIA KUELEKEA KANISA LA ROMA.

ENEO LIPO KATI YA KEREGE NA ZINGA TOWN BAGAMOYO

● Bei tunauza sqm 1 kwa 18,000Tsh na malipo ni kwa awamu mpaka miezi sita(6) yaani kiwanja cha ukubwa wa 20mita kwa 20mita unapata kwa 7milioni na hiyo unalipa kwa miezi sita tu.

Malipo utaanza na 3.5milioni tu, nyingine utalipa kwa awamu ya miezi sita(6).

Ukimaliza malipo utafutaji wa hatimiliki unaanza hapohapo bila kuchelewa.

● Hapa tumepima viwanja 50 tu na vyote tunaviuza viwanja vyenye ukubwa wa 20*20 mpaka 30*40 namaanisha 400sqm,500sqm,600sqm,700sqm,800sqm,900sqm mpaka 1200sqm vipo kwa hiyo utaamua wewe unachukua ukubwa upi.

● Mradi upo mita 500 kutoka barabara kubwa ya lami yanapopita mabasi, unatembea kwa miguu kufika kituoni.

● Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

● Mitaa tumeichonga vizuri na barabara za mitaa tumeweka kubwa size ya 10mita. Unangoja nin kununua sehemu kama hii maana bei ni kama tumegawa bure.

● Majirani wapo tayari na huduma kama maduka ya vitu vidogo vidogo yapo hapo hapo site.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI

#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima na yenye mamlaka ya kupauza hapa, haruhusiwi mtu yeyote kukanyaga kwenye eneo bila ruhusa ya kampuni.

Tunawajari sana wateja wetu.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 6,500,000

.VIWANJA VINAUZWA Mbezi mwisho njia ya MPIJIMAGOWE Ukubwa-sqm 400Bei Mil 6.5PIGA SIMU O677370515

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Apartiment house for rent nzuri kali sana Location mbezi mwisho kwa yusufu Kodi 600000 kwa mwezi na ...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI ZA KISASA ZINAPANGISHWA ZIPO 2 KWENYE FENSI IMEBAKI 1 TUU KODILAKI 300,000X4X5X6APA...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 387,747

APARTIMENTY INAPANGISHWA IPO TEMBONI KULIA KAMA UNAELEKEA MBEZIDK 18 KUTEMBEA BODA 1000/MUUNDO WAK...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 387,747

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 200,000/= X 6 💥 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO# CHU...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI ZA KISASA ZINAPANGISHWA ZIPO 2 KWENYE FENSI IMEBAKI 1 TUU KODILAKI 300,000X4X5X6APA...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT NZURI YA KISASA NA MAZINGIRA MAZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 350,000/= X 6ITAKUA WAZI KUAN...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 9,000,000

#OFA #OFA #OFA NIMEISHUSHA BEI KIDGO KWA SASA NJOO NA MILIONI 9 MA MAONGEZI YAPO KIDOGO SANA ALOCATI...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

🇹🇿Apartment Classic For Rent Location: MBEZI MWISHODistance: KM 1 Kutoka Morogoro Road PRICE: 600,...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI ZA KISASA ZINAPANGISHWA ZIPO 2 KWENYE FENSI IMEBAKI 1 TUU KODILAKI 300,000X4X5X6APA...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

DATE: 25/10/2025HOUSE FOR RENT: APARTMENTS ASKING PRICE: MILIONI 1 TERMS OF PAYMENT: MIEZI 6DIRECTI...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]💎Vyumba 2 kimoja master 💎Sebule kubwa💎Ji...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 480,000,000

*🌹NYUMBA ZIKO MBILI ZA KIFAHARI ZINAUZWA NAZIMEJENGWA KISASA SANA SANA NA ZIKO STANDARD MNO MNO....