Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 70,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Huduma na Sifa

Tiles
Sliding Windows
Maji
Uzio
Parking Space

Maelezo

Chumba master bedroom kinapangishwa bei elfu 70 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi kwamasister, boda boda ni buku tu hadi kwenye nyumba. Chumba master bedroom kina tiliz, madilisha vioo, maji yanatoka hadi vyooni, tiliz, madilisha vioo na fensi ya parking ipo pia. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.

Tafuta unachotaka Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam