Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Sofu, Pwani (1400 sqm)








Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
1400 SQM
Barabara ya Karibu
2km — Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 **PUNGuzo KUBWA LA BEI – KIBAHA SOFU!** 🔥
🏡 **NYUMBA INAUZWA – KIBAHA SOFU**
Fursa nzuri ya kuishi au kuwekeza kwa **bei mpya maalum!**
📍 **Kibaha Sofu** – Kilomita 2 tu kutoka Morogoro Road
📐 **Ukubwa wa Kiwanja:** SQM 1,400
🏠 Nyumba imegawanyika katika **sehemu mbili (2 units)**. Kila upande una:
• Vyumba 3 vya kulala
• Master Bedroom 1
• Sebule
• Dining
• Jiko
• Bafu
Muundo wake unafaa kwa **makazi, kupangisha, apartment, nursery au uwekezaji mwingine.**
💥 **PRICE DROP!**
~~TZS MILIONI 250~~
🔥 **SASA TZS MILIONI 180 TU!**
💰 **PUNGuzo la TZS MILIONI 70!**
📞 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kupanga muda wa kuja kuiona.















