Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Mikwambe, Dar Es Salaam (700 sqm)

video thumbnail
Sh. 140,000,000

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA INAUZWA โ€“ KIGAMBONI MIKWAMBE CHUO

Unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na nafasi ya kuendeleza? Hii ni fursa nzuri kwako!

โœ… Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
โœ… Sebule kubwa pamoja na Dining
โœ… Jiko la kisasa
โœ… Choo cha nje
โœ… Eneo la ukubwa wa SQM 700
โœ… Nafasi kubwa ya kujenga nyumba nyingine au Servant Quarter
โœ… Mita 300 kutoka barabara ya lami
โœ… Kilomita 11 kutoka Feri
โœ… Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
โœ… Nyumba ya kuhamia moja kwa moja

๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 140 (Mazungumzo yapo)
๐Ÿ“ž0769554221
๐Ÿ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Dege, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Sh. 1,500,000,000

For Sale4 beds3 baths1,500 sqmhouse