Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam
Chamazi, Dar Es Salaam
16 days ago
Sh. 33,000,000
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MBEI NI MILIONI 33 TU! 🏡
Unamaliziwa kila kitu kwa makubaliano na mwenye nyumba.
📍 Mahali: Mbagala Chamazi Kwa Mkongo
🛣️ Dakika 3 tu kutoka barabara kuu ya lami.
Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
✅ Sitting Room
✅ Dining Room
✅ Jiko
✅ Maji yanapatikana
✅ Nyumba ya kisasa yenye mazingira mazuri
Hii ni fursa nzuri ya kupata nyumba bora kwa bei nafuu.
📞 Njoo site, tazama mwenyewe, ukague na ulipie!
Kwa maelezo zaidi, piga simu: 0683 665504















