Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibaha Maili Moja, Pwani (1000 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYAA KALI SANA YENYE ENEO KUBWA SQM 1000 INAUZWA KIBAHA MAILI MOJA MILIONI 140 TU
==========
๐ปIna vyumba vinne vya kulala, vyumba viwili ni master
๐ปSebule Kubwa
๐ปJiko kubwa sana
๐ปPublic toilet
๐ปDinning Room
๐ปStore
==========
๐ Kiwanja chake kina sqm 1000
โ๏ธ Kimepimwa na kina hati safi ya Wizara
__________________
โ๏ธ Nyumba ni mpya kabisa
โ๏ธ Ipo kwenye barabara ya mtaa
โ๏ธ Ipo ndani ya fence
_____________________
๐ฐ BEI MILIONI 140 TU
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#















