Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Fancity, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
🏡 NYUMBA MPYA INAUZWA – KIGAMBON FANCITY
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye eneo kubwa na fursa ya biashara? Hii ndiyo chaguo sahihi!
✨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 4 vya kulala
* Vyumba 2 Master
* Sebule kubwa
* Jiko la kisasa
* Eneo la SQM 700
* Frame ya biashara
* Nyumba mpya kabisa, tayari kuhamia
* Mazingira mazuri na mtaa uliopangwa vizuri
📄 Nyaraka: Sales Agreement
📍 Mahali:
* Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 12 kutoka Ferry
* Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: TZS Milioni 155
🤝 Mazungumzo yapo
📞 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateforsale #trendingaudio















