Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kisarawe II, Dar Es Salaam (1200 sqm)
Maelezo
π₯ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI KISARAWE II π₯π‘
π FURSA NZURI YA KUMILIKI NYUMBA KWA BEI NZURI!
Nyumba inauzwa Kigamboni β Kisarawe II, eneo zuri na linaloendelea kwa kasi.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 4
β
Vyumba 3 ni Master
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,200
π Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
π§ Maji yanapatikana
β‘ GOOD NEWS:
Nyumba bado ipo kwenye hatua za umaliziaji. Kazi kubwa imefanyika, zimebaki finishing ndogo ndogo pamoja na maandalizi ya umeme na baadhi ya vitu vingine. Hii inakupa nafasi ya kumalizia kwa style unayoipenda.
π UMBALI:
π Mita chache kutoka Baba Alami
π Kilomita 10 kutoka Ferry
π Kilomita 10 kutoka Darajani, Kigamboni
π° BEI: TZS MILIONI 120
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Nyumba nzuri, eneo zuri, kiwanja kikubwa na ina Hati ya Wizara β fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji!
π 0769 554 221
πService charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio









